UDOM CHAMBER WAKUTANA JANA COED.............
Wadau wakijadili mabo mbalimbali kuhusu Udom Chamber jana COED
Member wa udom chamber wakisikiliza kwa makini mijadala mbalimbali na maazimio kama Group
Bwana Areman Kizuguto ndio aliyeeendesha mjadala......Nilipenda kofia yake
Tulipata picha na bwana Eddie Kiwanda jana Coed
Mwisho wasiku tulipata picha ya pamoja baada ya mjadala.....
CEO wa Lukaza Blog na wadau wengine wakitoka kwenye Mjadala wa UC...............(picha zote na Faddy Linga na Kindimba)

Comments
Post a Comment