Skip to main content
BALOZI SEIF IDD AZINDUZ PROGRAMU YA UONGEZAJI HUDUMA ZA THAMANI ZA KIFEDHA
Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar Balozi Seif Ali Idd akisalimiana na baadhi ya viongozi waliohudhuria katika uzinduzi wa Programu ya Miundo mbinu ya Masoko, Uongezaji Thamani na Huduma za Kifedha Vijijini katika hafla iliyofanyika Ukumbi wa Salama Hoteli ya Bwawani Mjini Zanzibar
Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar Balozi Seif Ali Idd akizindua Programu ya Miundo mbinu ya Masoko, Uongezaji Thamani na Huduma za Kifedha Vijijini katika hafla iliyofanyika Ukumbi wa Salama Hoteli ya Bwawani Mjini Zanzibar
Viongozi mbalimbali waliohudhuria katika Uzinduzi wa Programu ya Miundo mbinu ya Makomo, Uongezaji Thamani na Huduma za Kifedha Vijijini wakimsikiliza Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar Balozi Seif Ali Idd hayupo pichani katika hafla iliyofanyika Ukumbi wa Salama Hoteli ya Bwawani Mjini Zanzibar.
Comments
Post a Comment