RAISI KIKWETE AKUTANA NA VIONGOZI WA CHADEMA HAPO JANA

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akigana na Mwenyekiti wa CHADEMA Mh. Freeman Mbowe

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akigana na Mheshimiwa John Mnyika Mbunge Jimbo la Ubungo CHADEMA
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akigana na Mheshimiwa Arfi Mbunge wa CHADEMA

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiagana na Kiongozi wa CHADEMA

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisikiliza maelezo toka kwa Mwenyekiti wa CHADEMA Mh. Freeman Mbowe baada ya kupokea mapendekezo ya chama hicho juu ya kuundwa katiba mpya yatayozungumzwa kwenye mkutano huo wa kihistoria uliofanyika jana Ikulu jijini Dar es salaam

Rais Jakaya Kikwete Akifurahi jambo na Viongozi wa Chadema wakiongo Wa Chadema

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na uongozi wa CHADEMA katika mkutano huo wa kihistoria

Mh. Tundu Lissu akikoroga chai baada ya mkutano huku Profesa Baregu naye akijiandaa kujisevia

Rais Jakaya Kikwete akiongea na wageni wake

Rais Jakaya Kikwete akimpa juisi Mwenyekiti wa CHADEMA Mh Freeman Mbowe baada ya mkutano

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiendelea kupata Vinywaji na Viongizi Waandamizi wa CHADEMA


Rais Jakaya Mrisho Kikwete akigana na Profesa Mwesiga Baregu CHADEMA
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akigana na Mheshimiwa Tundu Lissu Mbunge Jimbo la Singida Mashariki CHADEMA

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akigana na Profesa Abdallah Safari CHADEMA



Comments
Post a Comment