TAABU YA USAFIRI JIJINI

 Baadhi ya wasafiri wa kuelekea katika mikoa ya Moro na Tanga wakisubiri usafiri katika Kituo Kikuu cha Mabasi Ubungo
 Dada ambaye jina lake halikuweza kufahamika mara moja  akielekea katika Kituo Kikuu cha Mabasi ya kwenda mkoani Ubungo, Dar es Salaam  tayari kwa safari ya kuelekea mkoani kwaajili ya kusherekea sikukuu ya krismasi na mwaka mpya. Lakini usafiri umeanza kuwa wa shida kutokana na idadi kubwa ya wasafiri wanaoenda mkoani na nchi jirani

Comments

Popular Posts