UDOM WASHEREKEA MWAKA MPYA 2012 KWA FURAHA NA AMANI
Muziki uliwashwa na watu wakcheza kwa furaha ya kuuona mwaka huu mpya wa 2012
Wanafunzi wa chuo kikuu cha Dodoma wakisherekea mwaka mpya usiku wa kuamkia Tarehe moja.....ilikuwa ni furaha tu
Dj akipanga mangoma kwa washerekeaji....it was some thing funny
Mdau wa Uc Blog Joseph Kindimba akiwa amekula pozi...ni msherekeaji mzuri....teh
Ni kama anasema NIMEUONAAAAAA............Dodoma kuna baridi,ila kwa kwa muda huu ilikuwa ni joto....
UC blog inawatakia Wadau Wote wa Udom Chamber Heri ya Mwaka Mpya......

Comments
Post a Comment